Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Ahlul-Bayt (a.s) - ABNA - Maombolezo ya Tuwairij ni miongoni mwa mikusanyiko mikubwa ya watu duniani, ambayo hufanyika kila mwaka katika siku ya A'shura katika Mnasaba wa kukumbuka kuuawa Kishahidi Imam Hussein (amani iwe juu yake).
17 Julai 2024 - 16:45
Msimbo wa Habari: 1472647